Hori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hori ya Baracoa nchini Kuba

Hori ni sehemu ya mwambao wa bahari au ziwa inayozungukwa na nchi kavu pande tatu. Ni kidogo kuliko ghuba, mara nyingi husababishwa na mdomo mto kwenye bahari na kuelekea ndani ya bara.

Hori mara nyingi ni mahali pazuri kwa ajili ya bandari asilia kwa sababu imelindwa kisi na nguvu ya mawimbi.

Makala hiyo kuhusu "Hori" inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.