Honiara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

9°25′55″S 159°57′20″E / 9.43194°S 159.95556°E / -9.43194; 159.95556Coordinates: 9°25′55″S 159°57′20″E / 9.43194°S 159.95556°E / -9.43194; 159.95556

Mandhari ya Honiara.
Mahali pa Honiara nchini.

Honiara ni mji mkuu wa nchi huru ya Visiwa vya Solomon katika Melanesia.

Mji huo uko kwenye kisiwa cha Guadalcanal. Una wakazi 84,520 (2017).

Ulijengwa baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia mahali pa kituo cha kijeshi cha Marekani ukachukua nafasi ya mji mkuu wa awali, Tulagi, tangu mwaka 1952.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.