Henri Matisse

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Henri Matisse (1933)

Henri Matisse (31 Desemba 18693 Novemba 1954) alikuwa msanii kutoka nchini Ufaransa. Alifanya kazi za kuchonga na kuchapisha lakini amejulikana hasa kama mchoraji.

Alipendwa kwa namna jinsi alivyotumia rangi katika picha zake.

Mifano ya picha zake[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Henri Matisse kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.