Hefei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Hefei








Hefei
Faili:Flag of .png
Bendera
Nchi China
Jimbo Anhui
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 4,627,300
Tovuti:  www.anhui.gov.cn

Hefei (kwa Kichina: 合肥) ni mji wa China. Ndio mji mkuu katika jimbo la Anhui.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, kuna wakazi wapatao milioni 4.6 wanaoishi katika mji huu.

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hefei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.