Heaven on My Mind

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Heaven on My Mind ni filamu ya mwaka 2018 iliyoongozwa na kuandikwa na Uche Jombo kwa kushirikiana na Ojor Nneka[1][2].

Ploti[hariri | hariri chanzo]

Filamu hii inazungumzia kuhusu kijana mdogo aitwae Ben Peter anayeamua kuoa kama mtindo wa maisha yake na kufanya biashara hadi anapokutana na jambo la usawa liitwalo mbinguni[3][4][5].

Wahusika[hariri | hariri chanzo]

  • Adunni Ade
  • Femi Adebayo
  • Mercy Aigbe
  • Chika Chukwu
  • Ini Edo
  • Ray Emodi
  • Swanky Jerry
  • Uche Jombo
  • Eric Ogbonna
  • Princewill

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. nollywoodreinvented (2018-10-29). "COMING SOON: Heaven On My Mind". Nollywood REinvented (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2019-11-14. 
  2. "Uche Jombo Studio releases trailer for new movie, 'Heaven on my mind'". Pulse Nigeria (kwa en-US). 2018-10-19. Iliwekwa mnamo 2019-11-14. 
  3. Heaven on my mind, iliwekwa mnamo 2019-11-14 
  4. "Uche Jombo debuts new movie ‘Heaven On My Mind’". Graphic Showbiz Online (kwa en-gb). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-09-21. Iliwekwa mnamo 2019-11-14.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  5. HEAVEN ON MY MIND 1 - 2018 NIGERIAN MOVIES| 2019 NEW NIGERIAN MOVIES HD (kwa Kiingereza), iliwekwa mnamo 2019-11-14 
Makala hii kuhusu filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Heaven on My Mind kama waigizaji wake, hadithi au matoleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.