Halima Ally

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Halima Ally
Nchi Tanzania
Kazi yake Muigizaji

Halima Ally (alizaliwa 8 Aprili 1987) ni mwigizaji wa filamu za Kitanzania (Bongo movie).[1]

Elimu yake[hariri | hariri chanzo]

Alipata elimu ya msingi katika shule ya msingi Kidongo Chekundu na kujiunga na elimu ya sekondari mwaka 2002 katika shule ya Benbella High School.

Filamu alizowahi kuigiza[hariri | hariri chanzo]

  1. No time to die
  2. The Diplomat
  3. Tell me The Truth
  4. Laptop
  5. Fast furious

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-11-09. Iliwekwa mnamo 2018-12-01. 
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Halima Ally kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.