Haleakala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Haleakala

Haleakala ni mlima wa volikano katika jimbo la Hawaii (Marekani).

Una kimo cha mita 3,050 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Haleakala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.