Haki za watoto nchini Mali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Haki za watoto nchini Mali zinalindwa na sheria kadhaa zilizoundwa kulinda watoto na kutoa ustawi wao, ikiwa ni pamoja na sheria inayotoa nafasi za kikanda kama "wajumbe wa watoto" ili kulinda haki na maslahi ya watoto. Hakuna masharti ya utekelezaji wa sheria hizo, na kama ziara yoyote katika mji wowote wa ukubwa wa kati nchini Mali itaonyesha, kuna watoto wengi mitaani ambao wanaishi karibu na njaa na ambao mara nyingi wanadhulumiwa. Hasa Talibe, wavulana wadogo 'waliotolewa' kwa 'marabout', wanakabiliwa na kila aina ya uzembe ikiwa sio kutendewa kinyama na mabwana zao.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]