Haki za wanawake nchini Saudi Arabia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kulingana na (Human Rights Watch na Amnesty International), wanawake nchini Saudi Arabia wanabaguliwa kuhusiana na ndoa, familia na talaka licha ya mageuzi ya hivi majuzi.[1][2] Serikali ya Saudia inaendelea kuwalenga na kuwakandamiza wanaharakati wa haki za wanawake.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Human Rights Watch (2022-01-13), "Saudi Arabia: Events of 2021", English (kwa Kiingereza), iliwekwa mnamo 2022-04-01 
  2. "Saudi Arabia". Amnesty International USA (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-04-01. 
  3. "Saudi Arabia 2020 Archives". Amnesty International (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-03-23. 
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Haki za wanawake nchini Saudi Arabia kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.