Nenda kwa yaliyomo

Haji Mussa Kitole

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Haji Mussa Kitole ni mwanasiasa wa Zanzibar na mwanachama wa chama cha ahazi Asilia. Aliwania nafasi ya urais wa Zanzibar tarehe 30 Oktoba 2005 kama mgombea wa chama cha Jahazi Asilia, Kitole alishika nafasi ya 3 kati ya wagombea sita, akipata asilimia 0.47% ya kura.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Elections in Zanzibar". African Elections Database. Iliwekwa mnamo 2010-10-31.