Gridi
Jump to navigation
Jump to search
Katika utarakilishi na uchoraji, gridi au mistari gridi (kwa Kiingereza: grid au gridlines) ni mfululizo wa mistari inayopitana. Gridi zinatumia kawaida ili kupanga na kuchora michoro.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).