Gicumbi ya kijani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gicumbi ya kijani ni mradi ambao unajihusisha na kuimarisha uwezekano wa kupunguza athari zitokanazo na mazingira katika jamii za Rwanda ya Kaskazini, hususan wilaya ya Gicumbi[1] Ni mradi ambao ulianzishwa mnamo Octoba 26, 2019 na serikali ya Rwanda kupitia wizara ya mazingira na Rwanda Green Fund (FONERWA).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Rwanda to launch major green growth investment to strengthen climate resilience in Gicumbi District (en-US). www.environment.gov.rw. Iliwekwa mnamo 2022-05-07.