Gian Pieretti
Mandhari

Dante Luca Pieretti (anajulikana zaidi kama Gian Pieretti; alizaliwa 12 Mei 1940) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Italia, aliyejipatia umaarufu hasa katika nusu ya pili ya miaka ya 1960.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Deregibus, Enrico (2006). "Gian Pieretti". Dizionario completo della canzone italiana. Giunti. uk. 367. ISBN 978-88-09-04602-3.
| Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Gian Pieretti kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |