Fitz Roy

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Fitz Roy mnamo mwaka 2013

Fitz Roy ni mlima wa Andes katika nchi za Ajentina na Chile (Amerika Kusini).

Urefu wake ni mita 3,375 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]