Nenda kwa yaliyomo

Felix Koskei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Felix Kipatarus Koskei (alizaliwa 1964) ni mkenya ambaye aliteuliwa na rais Uhuru Kenyatta kama katibu wa baraza la mawaziri wa kilimo, mifugo na uvuvi tarehe 25 Aprili 2013.[1] Kwa sasa ni mkuu wa utumishi wa umma katika ikulu ya rais William Ruto.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Felix Koskei CV". Nairobi: State House. 25 Aprili 2013. Iliwekwa mnamo 25 Aprili 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)