Exai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Exai[1] ni kampuni ya mtandao iliyoanzishwa mwaka wa 2012 huko Tel Aviv, Israel.

Leo kampuni hiyo ina ofisi za matawi pia huko Marekani, Masedonia Kaskazini na Philippines.

Huduma za kampuni ni ubadilishaji wa wavuti, utunzaji wa tovuti na uhamiaji wa cm.

Tovuti ya mwanzoni ilitangazwa kutoka Adweek[2] na TechCrunch.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-10-10. Iliwekwa mnamo 2019-10-10. 
  2. David Cohen|December 18, 2012. "Exai Website Creator Turns Facebook Pages Into Websites, Mobile Sites". www.adweek.com (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2019-10-10. 
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Exai kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.