Evo Morales

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Evo Morales

Juan Evo Morales Aima (* 26 Oktoba 1959) ni rais wa Bolivia tangu 22 Januari 2006. Morales ni Mwaymara na rais wa kwanza anayetoka kati ya wakazi asilia ya nchi.

Alianzisha na kuongoza chama cha Movimiento al Socialismo (harakati kwa ujamaa).