Eugène Rutagarama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tunzo ya Mazingira Goldmen
tuzo ya Mazingira ya Goldmen

Eugène Rutagarama ni mwanamazingira kutoka Rwanda. Alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka wa 2001, kwa jitihada zake za kuokoa idadi ya sokwe wa milimani katika Hifadhi ya Kitaifa ya Volcanoes katika milima ya Hifadhi ya Virunga, wakati wa vita na migogoro ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]