Nenda kwa yaliyomo

Duncan Mighty

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Duncan Wene Mighty Okechukwu (anajulikana pia kama Duncan Mighty, amezaliwa 28 Oktoba 1983) ni mwanamuziki, mwimbaji, na mtayarishaji wa muziki wa Nigeria kutoka eneo la serikali ya mtaa ya Obio-Akpor, Jimbo la Rivers[1].

  1. Emmanuel, Nancy. "Duncan Mighty Celebrates His Birthday Handing Out Bags of Rice To Widows (Photos)". Goodlife.com.ng. Iliwekwa mnamo 5 Februari 2014.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Duncan Mighty kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.