Dumile Feni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zwelidumile Geelboi Mgxaji Mslaba " Dumile " Feni ( 21 Mei 19421991 ) alikuwa msanii wa nchini Afrika Kusini aliyejulikana kwa uchoraji wake wa michoro iliyojumuisha vinyago ambavyo mara nyingi vilionyesha mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini . [1] Feni aliishi uhamishoni na umaskini uliokithiri kwa muda mwingi wa kazi yake ya sanaa.

Marejeleo[hariri | hariri chanzo]

  1. Dumile Feni. South African History Online (23 December 2014). Iliwekwa mnamo 8 February 2016.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dumile Feni kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.