Drum (gazeti)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Drum ni gazeti la Afrika Kusini. Lilianzishwa mwaka wa 1951 likawa gazeti muhimu kwa waandishi weusi kutoa sauti dhidi ya ubaguzi wa rangi.

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mambo ya fasihi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Drum (gazeti) kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.