Dili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jiji la Dili
Nchi Timor ya Mashariki
Jumba la gavana wa Ureno sasa ofoso ya Waziri Mkuu

Dili ni mji mkuu wa Timor ya Mashariki mwenye wakazi 150,000.

Mji uko upande wa kaskazini ya kisiwa cha Timor una bandari kuu la nchi pamooja na uwanja wa ndege wa kimatifa. Ni pia mahali pa chuo kikuu cha Timor ya Mashariki.

Mji ulianzishwa na Wareno mnamo mwaka 1520 ukawa makao makuu ya koloni ya Kireno. Uhuru wa nchi ulitangazwa hapa 1975 uliofuatwa na uvamizi wa Indonesia. Vita ya ukombozi ilileta uharibifu mwingi.

Tangu 20 Mei 2002 Dili ni mji mkuu wa Timor ya Mashariki huru.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dili kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: