Dents du Midi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Milima Dents du Midi, upande wa Kusini

Dents du Midi ni mlima wa Alpi katika nchi ya Uswisi (Ulaya). Mlima huo una vilele saba.

Urefu wa kilele chake kirefu kabisa ni mita 3,257 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dents du Midi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.