David Hemenway

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

David Hemenway (aliyezaliwa 1945) [1] ni Profesa wa Sera ya Afya katika Shule ya Harvard ya Afya ya Umma. Ana B.A. (1966) na Ph.D. (1974) kutoka Chuo Kikuu cha Harvard kwa masomo ya uchumi.

Yeye ni mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti cha Kudhibiti Majeraha kilichopo Harvard na Kituo cha Kuzuia Ghasia kwa Vijana pia kilichopo Harvard. Yeye pia kwa sasa ni James Marsh Visiting Professor-at-Large katika Chuo Kikuu cha Vermont[2]. Hemenway ameandika zaidi ya nakala 130 na vitabu vitano katika nyanja za uchumi na afya ya umma.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://books.google.com/books?id=QeGJH48PT0kC
  2. https://web.archive.org/web/20171003075357/https://www.uvm.edu/president/marsh/?Page=hemenwaybio.html