Danijel Furtula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Danijel Furtula (alizaliwa Julai 31 1992 huko Mojkovac) ni mrusha kisahani wa Montenegro ambaye alishindana kwenye olimpiki ya majira ya joto 2012 akiwa wa 20 kwenye kundi la vigezo namba 2 na hakuendelea mbele.[1] Alishinda dhahabu katika  kombe la Ulaya ya kurusha visahani la majira ya baridi kwenye kipengele cha chini ya miaka 23.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Wales, BBC Radio (2014-03-29), Radio Wales Sport, BBC Radio Wales, OCLC 1118217062, iliwekwa mnamo 2021-10-11 
  2. "Introduction: from original/copy to original copy", Hyperreality and Global Culture (Routledge), 2012-10-12: 13–15, iliwekwa mnamo 2021-10-11