Damian Kyaruzi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Damian Kyaruzi (amezaliwa 22 Aprili 1940) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.

Aliwekwa wakfu na Askofu Mkuu Mario Epifanio Abdallah Mgulunde mwaka 1997.

Tangu mwaka huo, alikuwa askofu wa Jimbo la Sumbawanga hadi alipostaafu mwaka 2018.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.