Dagoretti

Majiranukta: 01°18′00″S 36°46′00″E / 1.30000°S 36.76667°E / -1.30000; 36.76667
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dagoretti ni eneo lililoko magharibi mwa Nairobi, mji mkuu wa Kenya.

Kata[hariri | hariri chanzo]

Kata Idadi ya Watu
Kawangware 86,824
Kenyatta 30,253
Mutuini 14,521
Riruta 65,958
Uthiru / Ruthimitu 23,016
Waithaka 19,937
Jumla 240,081
sensa ya mwaka wa 1999

Usafiri[hariri | hariri chanzo]

Kituo cha reli cha Dagoretti kiko kwenye mstari wa mfumo wa reli ya kitaifa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

01°18′00″S 36°46′00″E / 1.30000°S 36.76667°E / -1.30000; 36.76667