Cravon Gillespie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Cravon Tommy Gillespie (alizaliwa Julai 31, 1996) ni mwanariadha mbobezi wa Marekani wa mbio za mita 100 na 200. Aliiwakilisha Merika kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2019, akipata medali ya dhahabu katika mbio za mita 4 × 100.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Ken Goe | The Oregonian/OregonLive (2019-06-08). Oregon’s Cravon Gillespie has a record-setting day; UO men 12th in NCAA track (en). oregonlive. Iliwekwa mnamo 2021-11-01.