Clara Guthrie d'Arcis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Clara Guthrie d’Arcis
Clara Guthrie d’Arcis

Clara Guthrie d’Arcis (New Orleans, Februari 22, 1879 - Geneva, Mei 12, 1937) alikuwa mwanaharakati wa amani wa Uswisi, mzaliwa wa nchini Marekani, mwanamke na mfanyabiashara wa kimataifa.

Alikuwa mwanzilishi na rais wa Umoja wa Wanawake Duniani kwa mapatano ya Kimataifa, [1] na mweka hazina wa kamati ya amani na Upokonyaji Silaha ya mashirika ya Kimataifa ya wanawake.[2]Aliwakilisha Uswizi katika Kongamano la 5 l la baraza la Kimataifa la wanawake. Kama raisi wa peace movement.

Clara Guthrie alijulikana sana kimataifa..[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nobs, Marg. (1943). "Der Frauenweltbund für internationale Eintracht". Die Friedens-Warte 43 (1): 60–64. ISSN 0340-0255. JSTOR 23774585. 
  2. 2.0 2.1 "Opinion | 100, 75, 50 Years Ago", The New York Times, 2012-05-14. (en-US) 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Clara Guthrie d'Arcis kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.