Nenda kwa yaliyomo

Claire Duck

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Claire Duck
Nchi Ufalme wa Muungano

Claire Duck (alizaliwa 29 Agosti 1985) ni mwanariadha wa mbio ndefu wa nchini Uingereza.[1]

Mnamo 2017, alishiriki katika mashidano ya mbio za wanawake huko Kampala, Uganda, katika mashinadno hayo alimaliza katika nafasi ya 62.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Claire DUCK | Profile | World Athletics". worldathletics.org. Iliwekwa mnamo 2024-05-23.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Claire Duck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.