Nenda kwa yaliyomo

Clémentine Ananga Messina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Clémentine Antoinette Ananga Messina (Aliezaliwa Beyene; 19592022) alikuwa mwanasiasa raia wa Kameruni. Alishika wadhifa wa kuwa Naibu Waziri katika Wizara ya Kilimo na Maendeleo ya Vijijini (Kolombia) kuanzia tarehe 30 Juni 2009 hadi 5 Agosti 2022.

Ananga Messina alizaliwa tarehe 15 Machi 1959. Alikulia katika kijiji cha Evondo huko Ngang, Mefou na idara ya Afamba, wilaya ya Nkolafamba.Alikuwa mhitimu katika kilimo na pia alikuwa na astashahada ya uzamili katika usimamizi wa sera za uchumi.[1]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Clémentine Ananga Messina kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. Beyala, Aline Florence Angono (2022-08-05). "Nécrologie: Ananga Messina tire sa révérence". Cameroon Radio Television (kwa Kifaransa). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-08-10. Iliwekwa mnamo 2022-08-10.