Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya ni chuo kikuu cha umma kinachopatikana katika jiji la Mbeya, Tanzania.[1][2]

Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya zamani kilijulikana kama chuo cha ufundi Mbeya.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya". www.mustnet.ac.tz. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-11. Iliwekwa mnamo 2019-11-14. 
  2. https://www.tcu.go.tz/?q=content/links-university-institutions

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wavuti ya chuo Kigezo:Vyuo vikuu vya Tanzania

Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Wikimedia Commons ina media kuhusu: