Nenda kwa yaliyomo

Chiara Bazzoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chiara Bazzoni

Chiara Bazzoni (alizaliwa Arezzo, tarehe 5 Julai 1984) ni mwanariadha wa Italia anayeshiriki mbio za mita 400. Alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya kupokezana vijiti (relay) ambayo inashikilia rekodi mbili za Italia (nje na ndani ya ukumbi) kwenye mbio za kupokezana za mita 4x400.[1]

  1. Annuario dell'Atletica 2009. FIDAL. 2009.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chiara Bazzoni kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.