Nenda kwa yaliyomo

Cheikh El Hasnaoui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cheikh El Hasnaoui
Amezaliwa
alizaliwa katika mji mdogo karbu na TIZI ouzou.
Amekufa 2002
Ufaransa
Nchi Algeria
Kazi yake Muimbaji

Cheikh El Hasnaoui (19102002) alikuwa mwimbaji wa Kiberber aliyezaliwa katika mji mdogo karibu na Tizi Ouzou nchini Algeria.[1]

Aliimba muziki wa chaabi wa Algeria, na alikuwa, pamoja na Slimane Azem, aliyehusika kuweka misingi ya muziki wa kisasa maarufu wa Kabyle katika miaka ya 1950 na 1960.[2]

Alifariki mnamo mwaka 2002 huko Saint Pierre de la Reunion, Ufaransa.

  1. Cheik El Hasnaoui website
  2. Korpe, Marie (2004) Shoot the singer!: music censorship today. Zed Books. ISBN 1-84277-505-7 p.116.
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Cheikh El Hasnaoui kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.