Cheikh El Hasnaoui
Mandhari
| Cheikh El Hasnaoui | |
| Amezaliwa | alizaliwa katika mji mdogo karbu na TIZI ouzou. |
|---|---|
| Amekufa | 2002 Ufaransa |
| Nchi | Algeria |
| Kazi yake | Muimbaji |
Cheikh El Hasnaoui (1910 – 2002) alikuwa mwimbaji wa Kiberber aliyezaliwa katika mji mdogo karibu na Tizi Ouzou nchini Algeria.[1]
Kazi
[hariri | hariri chanzo]Aliimba muziki wa chaabi wa Algeria, na alikuwa, pamoja na Slimane Azem, aliyehusika kuweka misingi ya muziki wa kisasa maarufu wa Kabyle katika miaka ya 1950 na 1960.[2]
Kifo
[hariri | hariri chanzo]Alifariki mnamo mwaka 2002 huko Saint Pierre de la Reunion, Ufaransa.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Cheik El Hasnaoui website
- ↑ Korpe, Marie (2004) Shoot the singer!: music censorship today. Zed Books. ISBN 1-84277-505-7 p.116.
| Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Cheikh El Hasnaoui kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |