Chaozhou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtaa wa Paifangjie uliopo mjini Chaozhou








Chaozhou
ChaoZhou West Lake.JPG
Bendera ya Chaozhou
Bendera
Nchi China
Jimbo Guangdong
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,470,000
Tovuti:  www.chaozhou.gov.cn

Chaozhou (kwa Kichina: 潮州市) ni mji wa China katika jimbo la Guangdong.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2002, kuna wakazi wapatao milioni 2.5 wanaoishi katika mji huu.

Flag-map of the People's Republic of China.svg Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Chaozhou kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.