Changchun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Changchun








Changchun
Bendera ya Changchun
Bendera
Nchi China
Jimbo Jilin
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 3,581,000
Tovuti:  www.changchun.gov.cn

Changchun (kwa Kichina: 長春) ni mji wa China. Ndio mji mkuu Wa jimbo la Jilin.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, kuna wakazi wapatao milioni 7.5 wanaoishi katika mji huu.

Mji upo mita 222 juu ya usawa wa bahari.

Flag-map of the People's Republic of China.svg Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Changchun kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.