Buwenge

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Buwenge katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 00°39′01″N 33°10′13″E / 0.65028°N 33.17028°E / 0.65028; 33.17028

Buwenge ni mji katika Mkoa wa Mashariki huko Uganda. Ulipendekezwa kama makao makuu ya wilaya ya Jinja mnamo 2009 wakati viongozi wa wilaya walipokuwa wakiishinikiza serikali iipe hadhi ya jiji la Jinja.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]