Bruno Pius Ngonyani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bruno Pius Ngonyani (amezaliwa 8 Agosti 1945) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.

Aliwekwa wakfu na Papa Yohane Paulo II mwaka wa 1991. Tangu mwaka huo, ni askofu wa Jimbo la Lindi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.