Braga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Bom Jesus katika Mji wa Braga mnamo mwaka 2017


Braga (kifupisho cha jina la Kilatini Bracara Augusta) ni mji wa Ureno kaskazini-magharibi. Una wakazi 137,000.[1] Hivyo ni wa saba kati ya miji ya Ureno. Eneo lake ni la km² 183.40&nbsp.[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ureno bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Braga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.