Boksi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
mfano wa boksi linalo hifadhi risasi

Boksi (kutoka Kiingereza "box"; kwa Kiswahili linaitwa pia "sanduku") ni kifaa ambacho mara nyingi kimeundwa na karatasi gumu.

Maboksi yapo ya maumbo mbalimbali kama mraba, pembetatu, mstatili n.k.

Boksi pia hutumika kuhifadhi vitu mbalimbali kama simu, runinga n.k.