Ballad Zulu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ballad Zulu
Nchi Zambia
Kazi yake mwimbaji,mtunzi wa nyimbo na mwanauchumi

JINA Faili:PICHA MAELEZO Amezaliwa 00.00.9999 ABC Amekufa 22.33.8888 MAHALI Nchi TAKATUKALAND Majina mengine ABC DEF Kazi yake POA

Andrew Ballad Mutale Zulu ( Ballad Zulu ) ni mwimbaji wa nchini Zambia, mtunzi wa nyimbo, na mwanauchumi . Amekua kimya kwa muda mrefu katika kazi yake ya muziki.

Pia amejijengea sifa ya kuwa msanii wa kipekee, mara chache hatoi mahojiano na mara chache hutumbuiza. Mtindo wake wa muziki umefafanuliwa kuwa ni kama mchanganyiko wa muziki wa kitamaduni wa Zambia, pop na midundo. Wimbo wake wa kwanza nchini Zambia ulikuwa "Cook On (Woman of Truth)" mwaka 1990. Vibao vyake vingine ni pamoja na "Welako" (1994), "Step Mother" (2002), na "Tipange Banja" (2005). Albamu yake iliyojulikana kama "Experience" ilitolewa mnamo Januari 10, 2008. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Times of Zambia January 11, 2008
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ballad Zulu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.