Ayoub Abou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ayoub Abou Oulam (alizaliwa 28 Juni 1998) ni mwanasoka kutoka nchini Moroko ambaye anacheza kama kiungo wa klabu iliyopo Serie C kutokea nchini Italia iitwaayo SPAL.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Abou alizaliwa mjini Casablanca lakini alihamia Barcelona akiwa na umri wa miaka tisa. Baadaye alijiunga na La Masia ya FC Barcelona, ​​[1] lakini akahamia FC Porto mnamo Julai 2015, na kuanzishwa kwenye kikosi cha vijana wenye umri chini ya miaka 20. [2]

Mnamo 30 Agosti 2017, Abou alijiunga na CF Rayo Majadahonda ya Segunda Division B. [3] Alianza kucheza timu ya wakubwa kikosi cha kwanza mnamo Septemba 10, akianza kwa kupoteza kwa mabao 0-4 ugenini dhidi ya SD Ponferradina. [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ayoub Abou: "Mi único objetivo ahora es llegar al primer equipo del Porto"". sport.es. 
  2. "Morocco’s Ayoub Abou to Join FC Porto from FC Barcelona". moroccoworldnews.com. 
  3. "Ayoub Abou, nuevo y último fichaje para completar la plantilla del CF Rayo Majadahonda" [Ayoub Abou, new and last signing to complete the squad of CF Rayo Majadahonda] (kwa Kihispania). CF Rayo Majadahonda. 30 August 2017. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-09-01. Iliwekwa mnamo 6 June 2018.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. "Ponferradina 4–0 Rayo Majadahonda | Goleada engañosa" [Ponferradina 4–0 Rayo Majadahonda | Misleading routing] (kwa Kihispania). El Gol de Madriz. 10 September 2017. Iliwekwa mnamo 6 June 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ayoub Abou kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.