Auckland

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa Mji wa Auckland

Auckland ni mji mkubwa kabisa katika nchi ya New Zealand. Mji wa Auckland una idadi ya wakazi wapatao milioni 1.4 (makisio). Kwa kipindi kifupi katika historia ya New Zealand, mji wa Auckland ulikuwa mji mkuu kabla hauja amishiwa katika mji mkuu mwingine wa sasa wa Wellington.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.