Nenda kwa yaliyomo

Asma Khalifa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Asma Khalifa ni mwanaharakati wa haki za wanawake na amani wa Libya. Kazi yake imeenea katika nchi nyingi zikiwemo Libya, Yemen na Syria. Alishinda tuzo ya amani ya Luxembourg mwaka wa 2016 na tuzo za vijana wa Afrika pia alitajwa kuwa mmoja wa vijana 100 wa Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi katika mwaka 2017. [1] [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Forum, Oslo Freedom. "Asma Khalifa | Speakers". Oslo Freedom Forum (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2019-08-07.
  2. Toderean, Claudia Ilinca. "Trainer Spotlight: a chat with Asma Khalifa m". International Youth Peace Forum. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 19 Juni 2018. Iliwekwa mnamo 21 Novemba 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Asma Khalifa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.