Arica

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Arica







Arica

Nembo
Majiranukta: 18°28′43″S 70°18′19″W / 18.47861°S 70.30528°W / -18.47861; -70.30528
Nchi Chile
Mkoa Arica na Parinacota
Wilaya Arica
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 200,000
Tovuti:  www.municipalidaddearica.cl/

Arica ni jina la mji mkuu wa mkoa wa Arica na Parinacota katika Chile. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2002, mji una wakazi wapatao 200,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 2 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya njr[hariri | hariri chanzo]

Flag-map of Chile.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Chile bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Arica kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.