Antony (mwanasoka)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchezaji wa Soka Antony
Mchezaji wa Soka Antony

Antony (alizaliwa 24 Februari 2000) ni mchezaji wa soka wa kulipwa wa Brazil na klabu ya Manchester United ambaye anacheza kama winga wa kulia wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Brazil.

Historia yake kwenye mpira wa miguu[hariri | hariri chanzo]

Mzaliwa wa Osasco, Antony alijiunga na timu ya vijana ya São Paulo FC Mnamo 2018, timu yake ilishinda shindano la J League Challenge nchini Japani na alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashindano hayo.[1] Tarehe 26 Septemba 2018, Antony pamoja na Helinho na Igor Gomes walipandishwa kwenye timu ya wakubwa.[2] na alitia saini mkataba hadi Septemba 2023.[3] Mnamo tarehe 15 Novemba, alicheza kwa mara ya kwanza katika timu yake , akitokea kama mbadala wa Helinho na kupata matokeo ya sare ya 1-1 dhidi ya Grêmio.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]