Antoine Brizard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchezaji wa Mpira wa wavu Antoine Fabien Brizard
Mchezaji wa Mpira wa wavu Antoine Fabien Brizard

Antoine Arthur Fabien Brizard (alizaliwa 22 Mei 1994)[1] ni mchezaji wa kulipwa wa Ufaransa anayecheza mpira wa wavu katika timu ya taifa ya mpira wa wavu ya Ufaransa na kwenye klabu ya Volley Piacenza huko Italia [2]. Alishiriki kwenye michuano ya Ubingwa Ulaya 2017 yaliyofanyika Polandi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Antoine BRIZARD". Olympics.com. Iliwekwa mnamo 2021-12-01. 
  2. Antoine Brizard is based in Piacenza, Italy (in-24.com)