Anne Kajir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anne Kajir (alizaliwa 1974) ni wakili kutoka Papua Guinea Mpya aliyeshuhulika na rushwa iliyoenea katika serikali ya nchi Australia, ambayo iliruhusu ukataji miti ovyo katika misitu ya kitropiki. [1]

Kajir alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka 2006.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Goldman Environmental Prize 2006: Anne Kajir Archived Oktoba 20, 2007, at the Wayback Machine (Retrieved on 2007-10-25)