Anita Blaze

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Anita Blaze
Anita Blaze

Anita Blaze (alizaliwa Oktoba 29, 1991) ni mpiganaji wa kitara wa mkono wa kulia kutoka nchini Ufaransa aliyeshiriki kwenye michezo ya Olimpiki mara mbili, na mshindi wa medali ya fedha katika timu ya nchi yake[1]

Maisha ya kazi[hariri | hariri chanzo]

Alishinda medali ya fedha ya timu mnamo mwaka 2008 kwenye michuano ya Ulaya mjini Rovigo na alishinda medali ya fedha peke yake mnamo 2010 kwenye michuano ya dunia ya vijana katika Baku.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "INTERNATIONAL FENCING FEDERATION - The International Fencing Federation official website". INTERNATIONAL FENCING FEDERATION - The International Fencing Federation official website. Iliwekwa mnamo 2021-12-02. 
  2. "Lagardère Paris Racing - fiche actualité". web.archive.org. 2014-12-05. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-12-05. Iliwekwa mnamo 2021-12-02.