Nenda kwa yaliyomo

Andrea Dallavalle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Andrea Dallavalle (alizaliwa 31 Oktoba 1999) ni mwanariadha wa Italia anayeshiriki kuruka mara tatu.

Alishiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya mwaka 2020, katika mashindano ya kuruka mara tatu.[1]

  1. "Athletics DALLAVALLE Andrea". Tokyo 2020 Olympics (kwa American English). Tokyo Organising Committee of the Olympic and Paralympic Games. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 26 Julai 2021. Iliwekwa mnamo 2021-09-20.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)